Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bodaboda wakutanishwa ‘wanatumia njia nyingi kumrubani Mtoto wa kike’
Share
Notification Show More
Latest News
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Bodaboda wakutanishwa ‘wanatumia njia nyingi kumrubani Mtoto wa kike’
Top Stories

Bodaboda wakutanishwa ‘wanatumia njia nyingi kumrubani Mtoto wa kike’

March 14, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Serikali kwa kushirikiana Mashirika mbalimbali likiwemo shirika la Rafiki SDO kwa kushirikiana na Plan International ndani ya Mkoa wa Geita wameendelea kudhibiti Vitendo vya Kikatili kwa Mtoto wa kike ambapo wamekuwa wakianzisha mashindano ya michezo ya mpira kwa kushirikisha Kata mbalimbali ndani ya Mkoa wa Geita.

Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya mpira katika uwanja wa Kasamwa mwakilishi wa Katibu Tawala Wilaya ya Geita Bi.Janeth Mode amesema lengo la mashindano hayo kuwakutanisha Bodaboda kwani wamekuwa wakitumika katika Njia mbalimbali katika kumrubuni mtoto wa kike asimalize shule kutokana na lifti za Bodaboda.

“Lengo kubwa la Michezo hii ilikuwa ni Kumsaidia Mtoto wa kike aweze kusoma asiweze kupata Mimba za Utotoni lakini Pia asiweze kuolewa kwa umri ambao haufai kauri yetu mbiu inasema si sawa bila usawa si sawa bila nini ni kwanini tuliamua kuwahusisha vijana wetu wa bodaboda bodaboda ni watu ambao wanatumika katika njia mbalimbali zinaweza zikawa sahihi au zisiwe sahihi, “ Mwakilishi wa Katibu Tawala wilaya Geita.

Sabbato Saimon ni Afisa Mradi wa KAGS kutoka shirika la Plan International Mkoa wa Geita amesema leo wamehitimisha fainali za Mashindano hayo yaliyokutanisha Timu za Bodaboda kutoka Ludete pamoja na Ihanamilo amesema Mradi huo ulilenga kutetea haki ya Mtoto wa Kike kuhakikisha anakamilisha Ndoto yake ya Kimasomo kwani Waendesha Bodaboda wamekuwa wakihisiwa kuwarubuni watoto wa kike hasa wale wanaotoka katika Mazingira Magumu pamoja umbali .

“Kwa siku ya leo tunahitimisha ligi ya Bodaboda ambayo imeanza Mwaka huu mwezi wa kwanza lengo ilikuwa ni kuwaandaa waendesha Bodaboda kama mnavyojua takwimu zinaonesha kwamba waendesha bodaboda wanachangia sana mimba za utotoni na kama sio kumpa Mimba mtoto bhasi anamsafirisha kumpeleka sehemu ambayo ataenda kupatia hiyo Mimba, ” Afisa Mradi KAGS Geita.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo Mkoa wa Geita Ndg.Harun Erikana ametoa shukurani za kipekee kwa namna walivyowaelekeza vijana katika kuratibu kushiriki katika Mashindano hayo ambayo yameshusisha Timu 94 ndani ya Mkoa wa Geita.

You Might Also Like

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA March 14, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Taasisi ya kimataifa ya Moody’s, yawasili nchini ‘Kuzifanyia tathimini nchi mbalimbali’
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 15, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
Top Stories June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?