Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hii ndio idadi ya Movies zilizopokelewa na Bodi ya Filamu Tanzania kuanzia mwaka 2014/2015
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Hii ndio idadi ya Movies zilizopokelewa na Bodi ya Filamu Tanzania kuanzia mwaka 2014/2015
Habari za Mastaa

Hii ndio idadi ya Movies zilizopokelewa na Bodi ya Filamu Tanzania kuanzia mwaka 2014/2015

February 19, 2015
Share
1 Min Read
.
SHARE
.
.

Inawezekana ukawa na hamu ya kufahamu ni idadi ngapi ya movie zinazopitishwa ambazo zimefanyiwa marekebisho na kufaa kimadili, sasa leo nakukutanisha na Bodi ya Tanzania ambao huwa wanahusika kuzipokea filamu zote za Tanzania na kuzipitisha.

Akizungumza kwenye AMPLIFAYA ya Clouds FM, Bi. Joyce Fisso Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania alisema;..”kati ya filamu 447 , filamu 47 zilihitaji marekebisho na  tunaposema marekebisho kwamba ni kuna vipengele ambavyo tunaona vinaweza kurekebishika na visiharibu hadithi lakini vile vile visikizane na sheria yetu na bahati nzuri wadau wetu wote wamerekebisha na kurejesha

Millardayo:..’Sasa hivi kwa Tanzania mnapokea filamu ngapi kwa mwezi?…”

Bi.Joyce:..’Kwa mwezi tunapokea kati ya filamu 40 mpaka 100, lakini kati ya Julai mpaka mwaka huu  sasa tumeshapokea filamu 447 kwa maana ya majina lakini kama unavyojua filamu zetu nyingi ni part 1 na part 2  kwa hiyo kati hizo za part 1 na part 2 ni zaidi  ya 660..“

Unaweza uka bonyeza play kusikiliza interview hapa

Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia Twitter, Instagram, na Facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza >>>twitter Insta Facebook

 

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

Millard Ayo February 19, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mkusanyiko wa Stori zilizopewa headlines kwenye Magazeti ya leo Tanzania February 19, 2015
Next Article Waziri mkuu kanunua suti kwa zaidi ya milioni 29 Tsh! kilichofata ni hiki sasa….
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?