Mkurugenzi wa Mashitaka DPP amemfutia M/kiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu mashtaka yote ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi katika Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, DPP amesema hana nia ya kuendelea na kesi hiyo.
BREAKING: Mbowe afutiwa mashtaka
Leave a comment
Leave a comment