Leo March 24, 2020 Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Upunzani Bungeni Freeman Mbowe amethibitisha Mwanaye Dudley kupata maambukizi ya virusi vya Corona ila sasa anaendelea vizuri.
BREAKING: Mbowe athibitisha Mtoto wake wa kwanza kapata Corona
Leave a comment
Leave a comment