Mkuu wa Wilaya ya Nyang’wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi.
BREAKING: Mkuu wa Wilaya afariki, Jafo athibitisha “sukari ilipanda” (+video)
Leave a comment
Leave a comment