Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara amefariki Dunia “alikuwa na changamoto ya upumuaji”
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Breaking News > BREAKING: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara amefariki Dunia “alikuwa na changamoto ya upumuaji”
Breaking News

BREAKING: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara amefariki Dunia “alikuwa na changamoto ya upumuaji”

April 27, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda amefariki Dunia jana saa tano usiku katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara (Ligula), Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amesema Mmanda aliugua na kulazwa kwa siku mbili na alikuwa anasumbuliwa na changamoto ya upumuaji.
•
“DC wa Mtwara Evod Mmanda amefariki majira ya saa tano usiku jana Hospitali ya Mkoa wa Mtwara(Ligula), ameanza kuugua juzi amelazwa kwa siku mbili na shida kubwa ni kwamba alikuwa na changamoto ya upumuaji, ni pengo kubwa alikuwa Mwanasheria mzuri na mchapakazi, mwili bado upo Hospitali Ligula, RC Mtwara anaratibu mazishi”-WAZIRI JAFO

LIVE MAGAZETI: MAENEO HATARI KWA VIRUSI VYA CORONA, AMANA YAONGEZEWA NGUVU KUHUDUMIA WENYE CORONA.

You Might Also Like

BREAKING: Usiku huu Mbunge Lema akamatwa na Polisi apelekwa Singida

BREAKING: Rais Magufuli amtumbua Balozi wa Tanzania nchini Canada

LIVE: Ibada ya kuaga mwili wa Mtanzangaji Isaac Gamba Hospitali ya Lugalo DSM

BREAKING: IGP SIRRO afika eneo MO Dewji alipotelekezwa

BREAKING: Mohammed Dewji apatikana akiwa hai, huyu hapa akiongea (+video)

Bakari Chijumba TZA April 27, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article CORONA UGANDA: Visa vyafikia 79 “kuna wagonjwa wapya wanne Watanzania”
Next Article Adhabu ya vifo kwa Watoto yapigwa marufuku “tumezuia na adhabu ya viboko”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?