Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Vincent Mashinji amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumanne Februari 18, 2020. Dk Mashinji amepokewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole.
BREAKING: Pigo kwa Mbowe, Mashinji apokelewa CCM
Leave a comment
Leave a comment