Rais John Magufuli amemlipia Shilingi Milioni 38 Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa kati ya Shilingi Milioni 40 alizotakiwa kulipa faini baada ya kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
BREAKING: Rais Magufuli amuokoa Mbunge Msigwa gerezani, amlipia Milioni 38
Leave a comment
Leave a comment