Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalim amethibitisha Tanzania kuwa na Mgonjwa mmoja mwenye Virusi vya Corona, “aliingia Nchini kutokea Nchini Ubeligiji”.
BREAKING: Waziri amethibitisha mgonjwa wa kwanza wa Corona nchini
Leave a comment
Leave a comment