Taarifa zilizotufikia hivi punde kutoka Sinza Dar es Salaam ni kwamba Bar maarufu La Chaaz inawaka moto ila bado chanzo hakijafahamika cha moto huo endelea kukaa karibu na Ayo TV & Millardayo.com tutaendelea kukujuza ila kwasasa unaweza ukatazama hii video hapa ujionee BAR hiyo ikiwaka moto.
Breaking:Bar maarufu ya La Chaaz yawaka moto DSM
Leave a comment
Leave a comment