Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Burkina Faso: Uchaguzi sio muhimu kama usalama wa nchi: Kiongozi wa serikali ya kijeshi
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Burkina Faso: Uchaguzi sio muhimu kama usalama wa nchi: Kiongozi wa serikali ya kijeshi
Top Stories

Burkina Faso: Uchaguzi sio muhimu kama usalama wa nchi: Kiongozi wa serikali ya kijeshi

September 30, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore, amesema suala ya kufanyika kwa uchaguzi sio kipaumbele kwa sasa ikilinganishwa na usalama.

Matamshi ya kiongozi huyo wa kijeshi yanakuja wakati huu ikiwa imepita mwaka mmoja baada ya kuingia madarakani kupitia njia ya mapinduzi.

Traore alikuwa ameahidi kurejelewa kwa demokrasia na uchaguzi urais kufikia Julai 2024.

Kiongozi huyo ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wanahabari kuhusu suala hilo tata la uchaguzi ambapo amesema kwa sasa anahitaji kushugulikia tatizo la usalama katika nchi iliyokumbwa na ghasia za wanajihadi.

Baadhi ya raia wa Burkina Faso wamekuwa wakishinikiza kufanyika kwa marekebisho ya katiba

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA September 30, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Tupac Shakur: Duane Davis kushtakiwa kwa mauaji ya rapper 1996.
Next Article Mke wa rais aliyepinduliwa nchini Gabon ashtakiwa kwa ‘utakatishaji wa fedha’.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023

You Might also Like

Entertainment

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

December 8, 2023
Entertainment

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

December 8, 2023
Entertainment

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

December 8, 2023
Entertainment

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

December 7, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?