Ni Headlines za mkali kutokea Nigeria, Burna Boy ambae time hii ameingia katika vichwa vya habari baada ya kujizawadia gari mpya aina ya Lamborghini 2022.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2022/01/rttrrrrrr-534x950.webp)
Gari hilo aina ya Lamborghini Urus Novitec toleo la Mwaka 2022 lenye thamani ya (Naira 250M) sawa na fedha za kitanzania Bilioni 1.3
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2022/01/rrttttt-950x475.jpg)
Burna Boy anasema ameamua kujizawadia Gari hilo jipya kama sehemu ya mafanikio na matunda ya muziki wake.
UTAIPENDA HARMONIZE NA BURNA BOY WAKIIMBA LIVE KAINAMA 2019