Mwigizaji Jonathan Majors kuhukumiwa mwaka 1 katika kesi ya unyanyasaji
Mwigizaji Jonathan Majors anatarajiwa kuhukumiwa siku ya Jumatatu baada ya mahakama kumpata…
Wakili wa mtoto wa P Diddy akosoa idara ya usalama wa taifa kutumia vyombo vya habari wakati wa uchunguzi
Mtoto wa kiume wa Diddy Justin Combs amemwona wakili wake, Jeffrey Lichtman,…
Taylor Swift aingia kwa mara ya kwanza kwenye orodha ya Mabilionea ya kila mwaka ya Forbes
Forbes waliripoti Jumanne utajiri wa kibinafsi wa mwimbaji huyo Kufikia wastani wa…
Je, jalada la mali isiyohamishika la Diddy la Mamilioni ya Dola liweza kukamatwa?mwanasheria afafanua
Nyumba za Diddy zilivamiwa kama sehemu ya uchunguzi wa Usalama wa Taifa…
Bifu la P Diddy na 50 Cents lahusishwa na wivu wa mapenzi
Furaha iliyoonyeshwa na 50 Cent katika matatizo anayopitia staa wa muziki Sean…
Mfanyabiashara mmoja wa familia yenye nguvu nchini Afrika Kusini ahusishwa na mauaji ya rapa AKA
Taarifa iliyowasilishwa mahakamani na afisa wa uchunguzi ilisema kwamba kampuni inayomilikiwa na…
Kwa mara ya kwanza Saudi Arabia inatazamiwa kushiriki shindano la Miss Universe 2024
Katika hatua ya kwanza ya kihistoria, Saudi Arabia inatazamiwa kuwakilishwa na Rumy…
Wakili akashifu mamlaka ya serikali kwa kutumia kiwango kikubwa cha kijeshi nyumbani kwa P Diddy
Baada ya upekuzi uliofanyika katika nyumba za Sean ‘Diddy’ Combs al maarufu…
Albamu ya Rave & Roses, ya Renma yapata vyeti rasmi vya Platinum nchini Ufaransa
Nyota wa Nigeria Rema anaendelea kuvunja rekodi, haswa kwa kuwa msanii wa…
Wizkid anunua cheni ya almasi iliyomgharimu Mamilioni ya dola
Mkali wa Afrobeats, Ayo Balogun, almaarufu Wizkid, amewasha masikio ya wengi mtandaoni…