Top Stories
-
Msako wa DC Sabaya, avamia godown akuta magendo, fedha (+video)
Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameongoza Kamati ya Ulinzi na...
-
Askofu avuliwa cheo kisa uzinzi
Kanisa la Anglican Nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa hilo,...
-
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 21, 2021
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam leo January 21,...
-
Rasmi Biden ndie Rais wa 46 wa Marekani, atoa hotuba nzito
“Hii ni siku ya Wamarekani. Hii ni siku ya demokrasia. Siku ya historia...
-
Dudubaya afikishwa Mahakamani
Mwanamuzi wa bongofreva Godfrey Tumaini maarufu Kama (Dudubaya) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya...
-
Burna Boy kusikika katika uapisho wa Joe Biden
Taarifa ikufikie kuwa wimbo wa ‘Destiny’ wa msanii kutoka Nigeria ‘Burna boy’ utakuwa...
-
RC Mghwira aagiza Watanzania walioshikiliwa Kenya waachiwe
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira amemuagiza Mkuu Wilaya ya Taita Taveta...
-
Magari kutoka nje ya nchi kukaguliwa Bandari ya DSM
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema kuanzia Machi Mosi, 2021 utaratibu wa kukagua...
-
Askari Koplo Yusuph ajinyongwa kwenye nyumba aliyoijenga (+video)
Askari wa Jeshi la Polisi aliyekuwa anafanya kazi katika kituo cha Polisi Wilayani...
-
Mama ataka kujiua, Mtoto alieshindwa kufika Form 4 ajiua, wawili watupwa shimoni (+video)
Mwanamke mmoja mkazi wa Mtaa wa Nike Kata ya Goba Dare es salaam...
-
Trump amuokoa Lil Wayne kifungo cha miaka 10
Rais Trump amewasamehe Watu zaidi ya 70 wenye makosa mbalimbali muda mfupi kabla...
-
Aporwa nyumba mbili kisa mkopo wa Milioni 5
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga imefanikiwa kurejesha...
-
EU kuziruhusu tena ndege za Boeing 737 Max
Umoja wa Ulaya (EU) umepanga kutoa idhini kwa utumiaji wa ndege za abiria...
-
Biden ajiandaa kuingia Ikulu, Trump aitakia mafanikio yake
Rais mteule wa Marekani Joe Biden aliwasili Washington katika mkesha wa sherehe ya...
-
Ongezeko la wagonjwa wa saratani Tanzania “wafikia 50,000” (+video)
Inaelezwa kuwa Tanzania kuna Ongezeko la Wagonjwa wa Saratani wapatao 50,000 na inakadiriwa...
-
Mtendaji alieonekana anampiga mtu asimamishwa kazi “ni kosa la jinai” (+video)
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Hudson Kamoga amemsimamisha kazi...
-
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 20, 2021
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam leo January 20,...
-
Watumishi watano wasimamishwa kazi kupisha uchunguzi
Watumishi watano kati ya sita wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe wamesimamishwa...
-
TAKUKURU yachunguza Bilioni 1 zilizokopwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Simiyu inafanya ufuatiliaji wenye...
-
Shule ya wanafunzi wanaosomea chini yaanza kujengwa baada ya JPM kutoa agizo ‘Tunakesha hadi Usiku’
January 18, 2021 Rais Magufuli alitoa tamko na agizo kwamba ijengwe vyumba vya...
-
“Mgodi huu utatoa ajira Milioni 8” Rais Magufuli akiwa Kagera (+video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amesema kuwa mgodi...
-
Mzee wa miaka 80 afia hotelini “alikuwa na mwanamke chumbani” (+video)
David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es salaam amefariki Dunia akiwa kwenye...
-
Ajiua kwa kujimwagia Petrol na kujichoma
Hashimu Selemani maarufu Chikwisu mkazi wa Mtaa wa Julia Newala Mjini Mkoani Mtwara...
-
JKT yasitisha mafunzo
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kusitisha kwa muda mafunzo ya jeshi hilo...
-
Mtoto wa mganga afariki kwa kunywa dawa ya kusafishia nyota
Mtoto Juma Megejuwa mwenye miaka 12 mkazi wa Kijiji cha Mwaningi katika Kata...