Gaza yageuka kuwa ‘makaburi ya watoto’
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alisema siku ya Jumatatu…
MSD yakabidhi vifaa vya Milioni 900,DC agiza vifaa hivyo vifungwe ndani ya siku 15
Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya…
Zaidi ya wanakijiji 20 wauawa katika shambulizi la Cameroon
Waasi wanaotaka kujitenga waliwauwa karibu watu 20, wakiwemo wanawake na watoto, katika…
Zaidi ya watoto milioni 1.6 walio chini ya umri wa miaka 5 wako hatarini ya utapiamlo nchini Sudan Kusini
Zaidi ya watoto milioni 1.6 walio chini ya umri wa miaka mitano…
Nigeria: Wanakijiji wahudhuria mazishi ya wahasiriwa wa shambulio la Boko Haram
Watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi waliwaua wakulima wasiopungua 11 katika jimbo la Borno…
Spika asimama na Honey ya Zuchu, aagiza Walimu warejeshwe
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson…
Tamasha la kumbukumbu ya Bibi titi 2023 lazinduliwa DSM, Waziri Mchengerwa ashiriki
Waziri wa Nchi OR – TAMISEMI ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo…
Mbunge ahoji bando la 5G kuisha haraka, Serikali yajibu, ‘Hatutapuuzia Malalamiko’
Serikali imeingilia kati malalamiko ya Wananchi kukuhusu bando kuisha mapema maeneo ambayo…
Rais wa Uganda aikosoa Marekani baada ya kuondolewa katika mpango maalum wa kibiashara[AGOA]
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepuuzilia mbali wasiwasi wake kuhusu kuondolewa kwa…
Rais wa Palestina atoa wito kwa Marekani kuchukua hatua ili kusitisha mara moja vita vya Israel dhidi ya Gaza
Rais wa Palestina Mahmoud Abbas siku ya Jumapili alitoa wito kwa Marekani…