Wizara ya afya ya Palestina inasema Israel ‘ilishambulia’ wodi ya wajawazito huko Gaza
Wizara ya afya ya Palestina inayoendeshwa na Hamas imesema mashambulizi ya anga…
Putin atia saini sheria ya kubatilisha mkataba wa kupiga marufuku majaribio ya nyuklia
Rais Vladimir Putin ametia saini sheria ya kubatilisha uidhinishaji wa Urusi wa…
Duru mpya ya mgogoro kati ya Palestina na Israel yasababisha Wapalestina 8932 kuuawa
Gazeti la Palestina Al Quds limenukuu taarifa kutoka mamlaka ya afya ya…
Rais wa Ujerumani aomba msamaha rasmi wa Ujerumani kwa uhalifu wa kikoloni Tanzaniania
Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani ameomba radhi kutokana na ukatili uliofanywa na…
Idadi ya wapiganaji wa Hezbollah waliouawa yaongezeka
Idadi ya wapiganaji wa Hezbollah waliouawa tangu Oktoba 7 imeongezeka hadi 50,…
Mwenyekiti wa baraza la utawala la Sudan abadilisha baadhi ya mawaziri
Mwenyekiti wa Baraza la Utawala nchini Sudan Abdel Fattah al-Burhan ametoa amri…
Mwanaume akamatwa baada ya kuandika ‘Free Gaza’ kwenye jengo London
Mwanamume mmoja amekamatwa kwa tuhuma za uharibifu na uhalifu baada ya maandamano…
Takriban Wapalestina 195 wauawa baada ya Israel kushambulia kambi ya wakimbizi ya Gaza
Ripoti ya shirika la habari la Reuters ikinukuu ofisi ya vyombo vya…
Utawala wa Biden waapa kupambana chuki dhidi ya Uislamu wakati wa vita vya Israel na Hamas
Utawala wa rais wa Marekani Biden ulisema utaandaa mkakati wa kukabiliana na…
Watoto 400+ wanauawa au kujeruhiwa kila siku huko Gaza
UNICEF Kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, kila…