Idara ya usalama ya Urusi yamhukumu mtu miaka 12.5 kwa mashtaka ya uhaini
Idara ya Usalama ya Shirikisho la Urusi (FSB) ilisema mtu mmoja amepatikana…
Wabunge wa Urusi wanapendekeza kupiga marufuku mtandao wa WhatsApp
Baadhi ya wanachama wa Jimbo la Duma la Urusi na Baraza la…
Zelenskyy kuzuru Washington na New York hivi karibuni
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy anatazamiwa kuzuru Congress na Ikulu ya White…
Ziara adimu ya rais wa Korea Kaskazini kim Jong Un kwenye ndege za kivita na silaha za Urusi
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alichungulia ndani ya chumba cha…
Watu elfu 11,000 wamefariki katika mafuriko, efu 30,000 wakikosa makaazi Libya
Shirika la msalaba mwekundu nchini Libya, limesema idadi ya watu waliofariki katika…
Trump anasema ‘haiwezekani sana’ ila atajisamehe ikiwa atachaguliwa
Rais wa zamani Donald Trump alisema Alhamisi kwamba “haiwezekani sana” kujisamehe ikiwa…
EU yatuma msaada nchini Libya kusaidia wahanga wa mafuriko…
Msemaji wa Umoja wa Ulaya alithibitisha Alhamisi msaada ambao jumuiya hiyo imetoa…
Morocco: Baada ya tetemeko la ardhi na mipango ya ujenzi mpya
Morocco ilitangaza kuzinduliwa kwa mpango wa msaada siku ya Alhamisi kusaidia na…
Uganda: Polisi yatoa sababu za kupiga marufuku mikutano ya Bobi Wine
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, amelaani hatua…
Hunter Biden afunguliwa mashtaka ya kumiliki silaha kinyume na sheria
Hunter Biden, mtoto wa Joe Biden, amefunguliwa mashtaka ya shirikisho Alhamisi kwa…