Mahakama kuu yaidhinisha matokeo ya kura ya maoni, kumruhusu rais kuwania hadi miaka 7
Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeidhinisha matokeo ya kura…
Bayern Munich walilaghaiwa na Tottenham kwa kutumia €100m kumnunua Harry Kane- Lothar Matthaus.
Gwiji wa Bayern Munich, Lothar Matthaus ameishutumu Tottenham kwa ‘kuwalaghai’ wababe hao…
Mamia ya malori yenye vyakula na vitu muhimu yafika Niamey
Takriban lori 300 za chakula na vifaa vingine zilivuka hadi Niger kutoka…
Rais wa Nigeria awaapisha mawaziri wapya akiwahimiza kujenga upya imani ya umma
Rais Bola Tinubu wa Nigeria Jumatatu aliwaapisha mawaziri wapya walioteuliwa akisisitiza kazi…
Xi awasili Afrika Kusini kwenye mkutano wa 15 wa wakuu wa BRICS na ziara ya kiserikali
Rais Xi Jinping wa China aliwasili Afrika Kusini Jumatatu ili kuhudhuria mkutano…
19 waliokolewa katika operesheni ya pamoja dhidi ya waasi wa ADF
Jeshi la UPDF la Uganda na jeshi la FARDC la DRC katika…
Baraza la mawaziri la Zimbabwe lavunjwa kabla ya uchaguzi mkuu kesho
Baraza la Mawaziri la nchini Zimbabwe limevunjwa jana jumatatu baada ya kufanya…
Bosi wa Wagner anadai kuifanya Afrika kuwa ‘huru’ zaidi
Mkuu wa mamluki wa Wagner Yevgeny Prigozhin anasema yuko barani Afrika “na…
Trump anasema atakamatwa siku ya Alhamisi katika kesi ya uchaguzi ya Georgia
Donald Trump amesema anapanga kujisalimisha siku ya Alhamisi katika mahakama ya jimbo…
Filamu ya “Barbie” yapigwa STOP Lebanon
Waziri wa Utamaduni wa Lebanon amesema filamu ya sinema ya “Barbie” inaeneza…