Mamlaka ya Morocco inawashikilia washukiwa 21 wa ugaidi
Takriban watu 50 walikamatwa siku ya Jumatano kote nchini Morocco wakati wa…
21 wafariki 40 wanusurika baada ya boti ya abiria kupinduka Philippines
Takriban watu 21 walikufa baada ya boti ya abiria kupinduka katika ziwa…
Ahadi ya Amani kutoka kwa rais Weah kuelekea uchaguzi wa Oktoba
Rais George Weah wa Liberia ameahidi kuhakikisha kunakuwa nautulivu, kura za maoni,…
Putin aunga mkono Umoja wa Afrika kuwa G20 wa kudumu
Rais wa Urusi Vladimir Putin, wakati akizungumza katika ufunguzi wa mkutano kati…
Uganda:Hospitali yachunguzwa tukio la maiti ya kichanga kuliwa na panya
Polisi nchini Uganda wanachunguza Hospitali ya Kitaifa ya Rufaa ya Kawempe baada…
Michael Beale amepunguza ada ya uhamisho anayopanga kumlipia Danilo
Rangers imekubali ombi la kumnunua mshambuliaji wa Feyenoord, ambaye amewaaga wachezaji wenzake…
Moldova yawafukuza wanadiplomasia 45 wa Urusi na wafanyikazi wa ubalozi
Moldova imewaamuru wanadiplomasia 45 wa Urusi na wafanyakazi wa ubalozi kuondoka, na…
Hunter Biden akana mashtaka ya uhalifu mara 2 ya ushuru
Hunter Biden alikana mashtaka ya ushuru wa shirikisho Jumatano baada ya makubaliano…
Marekani inafianya kazi njia mbadala za kusambaza nafaka nchini Ukraine-White House
Marekani na washirika wake wanafanya kazi na Kyiv katika njia mbadala za…
Watu 26 wamefariki katika ajali ya basi kaskazini mwa Senegal
Basi hilo lilikuwa likitoka katika mji wa kaskazini mwa nchi mnamo tarehe…