Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Chanjo milioni moja za polio kutolewa Sudan
Share
Notification Show More
Latest News
The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
December 10, 2023
RC Chalamila apongeza Polisi na Barrick kwa kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili
December 10, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Chanjo milioni moja za polio kutolewa Sudan
Top Stories

Chanjo milioni moja za polio kutolewa Sudan

May 6, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Zaidi ya chanjo milioni moja za polio zilizokusudiwa kutolewa kwa watoto zimeharibiwa ikiwa ni matokeo ya uporaji nchini Sudan. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF lilisema siku ya Ijumaa.

Uharibifu huo umetokea huku mzozo ukiendelea kati ya jeshi la Sudan na vikosi Rapid Support Forces uliozuka mwezi Aprili.

Naibu mkurugenzi wa Ofisi ya Mipango ya Dharura katika UNICEF, Hazel De Wet alisema vifaa kadhaa baridi vya kuhifadhi chanjo vimeporwa, kuharibiwa na kuangamizwa huko Darfur Kusini.

Shirika hilo lilikuwa katikati ya kampeni mfululizo za utoaji chanjo ya polio nchini Sudan. Kampeni ambazo zilifuatia mlipuko wa ugonjwa huo mwishoni mwa mwaka 2022.

UNICEF ni miongoni mwa mashirika kadhaa ya misaada ya kibinadamu yaliyoripoti uporaji wakati wa mzozo wa Sudan.

You Might Also Like

Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA May 6, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 6, 2023
Next Article Kesi kupinga ushindi wa Tinubu kama rais mteule wa Nigeria kusikilizwa Jumatatu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

The Snipers Mabingwa wa Pool Table Mashindano ya robo mwaka
Sports December 10, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 10, 2023
Magazeti December 10, 2023
Breaking:Mvua kubwa yaitikisa Kilosa Usiku huu, Magari yasombwa, watu walia kuomba msaada
Top Stories December 10, 2023

You Might also Like

Top Stories

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

December 9, 2023
Top Stories

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

December 9, 2023
Top Stories

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

December 8, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?