Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Chege kaweka wazi chanzo cha kupishana na Diamond Platnumz kwa ishu ya Mbosso
Share
Notification Show More
Latest News
UNAAMBIWA: TV zinawapunguza watoto kitaaluma
February 3, 2023
Huyu hapa mbwa aliyevunja rekodi ya Guinness ya umri
February 3, 2023
TBS yawataka wauza vyakula kujisajili na maeneo yao
February 3, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
February 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Chege kaweka wazi chanzo cha kupishana na Diamond Platnumz kwa ishu ya Mbosso
AyoTV

Chege kaweka wazi chanzo cha kupishana na Diamond Platnumz kwa ishu ya Mbosso

January 15, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

NI Headlines za mkali kutokea Bongo Flevani, Chege ambae time hii amefunguka tetesi zilizodaiwa kuwa yeye na Diamond walipishana kisa Mbosso kusainiwa WCB.

‘Nilisikia Mbosso kusainiwa WCB wala sikupewa taarifa yoyote kutoka kwa kiongozi wangu wala kutoka kwa kiongozi wa Yamoto Band, sio suala baya,  Je huku umeondoka vizuri ama umeondoka vibaya mbona kimya sina taarifa’– Chege

‘Sikumlaumu Diamond alivyoongea Radioni kwasababu sikuulizwa na kama ningeulizwa basi ningefanunua kauli yangu niliyoitoa na wala sikuwa na sababu kumtakia mabaya Mbosso kwani ndie msanii pekee ambae nilikuwa nampenda Yamoto Band’- Chege

‘Mbosso nimekutana nae Dodoma na nimeongea nae Mengi sana na nikamwambia kauli yangu ilieleweka vibaya na nimemtakia kila la heri WCB kwenye kazi zake na wala sina chuki yoyote’- Chege

CHEGE KAWATUNGIA WIMBO DIAMOND, HARMONIZE NA ALIKIBA WAPATANE KAFUNGUKA HAYA

 

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Maisha ya Haji Manara nje ya mpira, Ndoa zake 3, kuzaliwa kwake Ulaya, mshahara mpya Yanga na mengine

Wolper kujifungua mtoto wa kiume Mchumba wake kathibitisha

P Funk afunguka yanayoendelea kuhusu Paula na Kajala

PICHA: Weusi wakiwa kwenye pozi la pamoja na watoto wao

BASATA yaingilia kati yanayoendelea kwa wasanii sakata la Harmonize

TAGGED: bongoflevanews
Edwin TZA January 15, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Scene ya uigizaji wa TID ya kimapenzi na Luludiva, katukumbusha enzi za ‘Girlfriend’
Next Article Taarifa ya Serikali juu ya vifo vya samaki Ziwa Victoria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

UNAAMBIWA: TV zinawapunguza watoto kitaaluma
Top Stories February 3, 2023
Huyu hapa mbwa aliyevunja rekodi ya Guinness ya umri
Top Stories February 3, 2023
TBS yawataka wauza vyakula kujisajili na maeneo yao
Top Stories February 3, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023

February 3, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023

February 2, 2023
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 2, 2023

February 2, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 1, 2023

February 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?