Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Baada ya wasichana 21 wa Chibok kuachiwa huru, 18 wamerudi na watoto….!!
Share
Notification Show More
Latest News
Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya
March 20, 2023
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Baada ya wasichana 21 wa Chibok kuachiwa huru, 18 wamerudi na watoto….!!
Mix

Baada ya wasichana 21 wa Chibok kuachiwa huru, 18 wamerudi na watoto….!!

October 14, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Bila shaka haujaisahau hii mtu wangu, kuhusu wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na kundi la Boko Haram kutoka nchi za West Africa. Ripoti mpya zinasema kuwa wasichana kumi na nane kati ya 21 walioachiwa na Boko Haram Alhamisi ya October 13, 2016 wamerejeshwa majumbani kwako na watoto wadogo baada ya mazungumzo kati ya viongozi wa serikali ya Nigeria na viongozi wa Boko Haram.

Kwa mujibu wa shirika la habari la Radio France, Serikali ya Nigeria pia imekanusha taarifa kuwa wasichana hao waliachiwa katika kubadilishana na maafisa wa Boko Haram waliokamatwa na vyombo vya usalama vya Nigeria na tayari inaelezwa kuwa viongozi waandamizi wa Boko Haram nao walikamatwa katika kituo cha polisi cha kukagua magari karibu na mpaka na Cameroon, kwa mujibu wa vyanzo vya usalama.

“Tafadhali ningependa kuwafahamisha kwamba hapakuwa kubadilishana wafungwa, matokeo ya mazungumzo ya muda mrefu na yenye uaminifu kati ya pande husika,” Waziri wa Habari na Utamaduni wa Nigeria, Lai Mohammed

Kwa mujibu wa Lai Mohammed, wasichana 197 waliotekwa nyara na wanamgambo wa kundi la Boko Harami hawajulikani walipo.

Tunaona kuwa hii ni hatua ya kwanza yenye kuamini katika uwezekano wa kuawaachilia wasichana wote wa mjini Chibok wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Boko Haram,” Lai Mohammed ameviambia vyombo vya habari Wasichana 21 walioachiliwa Alhamisi hii wamepokelewa mjini Abuja na timu ya madaktari na wanasaikolojia:- Utamaduni wa Nigeria, Lai Mohammed

Serikali yaya Nigeria ina orodha ya mateka walioachiliwa na itawaona familia za wasichana hao kabla ya kutangaza majina yao, kwa mujibu wa Lai Mazungumzo yanaendelea, kwa ajili ya kuwaachilia mateka wengine, kwa mujibu wa Garba Shehu, msemaji wa Ofisi ya rais Nigeria.

Jeshi la Nigeria linaendesha operesheni ya usalama kaskazini mwa nchi, hasa katika msitu wa Sambisa, ambao ni ngome kuu ya wapiganaji Boko Haram.

ULIPITWA NA HII YA RC MAKONDA KUHUSU KAMPUNI YA GSM KUAHIDI KUMNUNULIA NYUMBA KIJANA ALIYETOBOLEWA MACHO

You Might Also Like

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

List ya Wasanii wakubwa watakaoimba Tamasha la Pasaka 2023

TCDC na Makakati kukuza biashara kidijitali

TAGGED: Nigeria
Admin October 14, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Huyu ndiye Katibu Mkuu mpya aliyeteuliwa na Umoja wa Mataifa UN
Next Article Magazeti ya Tanzania October 14, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya
Top Stories March 20, 2023
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya

March 20, 2023
Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.

March 20, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?