Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Miji 20 duniani ambako Baiskeli zimetumika zaidi kuliko Magari
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Miji 20 duniani ambako Baiskeli zimetumika zaidi kuliko Magari
Duniani

Miji 20 duniani ambako Baiskeli zimetumika zaidi kuliko Magari

January 23, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Kwa hapa Tanzania baadhi ya miji ambayo usafiri wa baiskeli ni mkubwa zaidi kuliko Magari ni pamoja na Shinyanga ambako Baiskeli zimepewa jina la ‘daladala’ na ndizo zinazofanya safari za hapa na pale na kukupeleka mpaka mlangoni.

Sasa katika rekodi za dunia utafiti uliofanywa ulionyesha kwamba kuna miji mingi duniani ambako Baiskeli ndio suluhisho la watu kuwahi zaidi wanakokwenda kuliko kutumia magari ambayo yanakwamishwa na foleni au mizunguko.

Miji yenyewe ni Copenhagen, Amsterdam, Utrecht, Strasbourg, Eindhoven, Malmo, Nantes, Bordeaux, Antwerp, Seville, Barcelona, Berlin, Ljubljana, Buenos Aires, Dublin, Vienna, Paris, Minneapolis, Hamburg na Montreal.

Mji wa Copenhagen Denmark umeongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya baiskeli ambazo huingia katikati ya jiji kila siku ukilinganisha na magari.

Unaambiwa mwaka 2015 magari 252,600 yalitumiwa kwenye jiji hilo ikilinganishwa na baiskeli 265,700 ambazo zilionekana kwenye mitaa ya jiji hilo ambapo ripoti ya utafiti huo imeeleza kuwa ni mara ya kwanza takwimu kueleza hivyo tangu mamlaka husika zianze kuhesabu mwaka 1970.

VIDEO: Picha za juu za ujenzi wa Double Road ya Arusha-Voi Kenya, Bonyeza play hapa chini kutazama

Unazitaka Breaking NEWS na Stori zote? ungana na Millard Ayo kwenye Facebook Twitter Instagram na Youtube na atakuletea matukio yote ya picha, video na habari iwe usiku au mchana…. bonyeza hapa >>> FB Twitter Instagram YouTUBE.

You Might Also Like

Silent Ocean imetupitisha kwenye Masoko ya vifaa mbalimbali Dubai, tazama (video+)

Forbes wamtangaza Melinda alieachana na Bill Gate kuwa Bilionea mpya, ashika namba hii

Picha za visiwa 10 vizuri zaidi duniani

Utafiti: Kuanzia miaka 55 watu wengi huchukia ajira zao….sababu?

NEW YORK! Swizz Beatz kamtumia salamu Diamond Platnumz

TAGGED: duniani
Edwin Kamugisha TZA January 23, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 10: Kwa mwaka 2017 hii ndio miji ya gharama zaidi kuishi duniani
Next Article Mstaafu Kikwete kwenye orodha moja na Bill Gates, Dangote na Ellen Johnson Sirleaf
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?