Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ilichokisema Kamati iliyochunguza tukio la Makonda kuvamia Clouds Media
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Ilichokisema Kamati iliyochunguza tukio la Makonda kuvamia Clouds Media
Mix

Ilichokisema Kamati iliyochunguza tukio la Makonda kuvamia Clouds Media

March 22, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu tukio la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda kuvamia Clouds Media akiwa na askari wenye silaha ambapo ilifuatiwa na Waziri mwenye dhamana ya Habari, Nape Nnauye kutembelea Clouds na kuunda Kamati ambayo ingechunguza ishu hiyo. Sasa leo March 22 2017 Kamati hiyo imetoa matokeo ya uchunguzi huo.

'Kamati ilipewa kazi ya kukusanya taarifa kwa Clouds Media na RC Makonda na kutoa mapendekezo hatua ambazo zitachukuliwa'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Baadaye tulienda ofisini kwake, kamati ilipopanda ngazi mkuu wa mkoa alitokea mlango mwingine na kuondoka'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Baadaye tulienda ofisini kwake, kamati ilipopanda ngazi mkuu wa mkoa alitokea mlango mwingine na kuondoka'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'RC Makonda alichagua mwenyewe kutosikilizwa na kamati kwa hiyo haitaathiri matokeo ya uchunguzi huu'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Imebainika ni kweli alikwenda pale Clouds na askari, waliingia kwenye vyumba ambavyo walipaswa kuingia kwa idhini maalumu'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Makonda aliwatishia wafanyakazi Clouds kuwa angewafunga miezi 6 pia angewaingiza kwenye orodha ya watuhumiwa wa dawa za kulevya'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Kutokana na vitisho hivyo hata kipindi cha SHILAWADU hakikufungwa kwa utaratibu wa kawaida'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Licha ya kukiri vitisho, kamati haikuona vithibitisho vyovyote kuwa walipigwa na vitako vya bunduki na kukatwa mitama'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Kamati imekuja na mapendekezo kuwa RC Makonda awaombe radhi Clouds na tasnia nzima ya habari'-Balile

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Nimeipokea ripoti, kazi hii si ndogo ina gharama kubwa'-Waziri Nape

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Ripoti ina vielelezo vya sauti na picha za waliokuwa wanatoa ushahidi'-Waziri Nape

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

'Sisi tuliopewa dhamana ni vizuri kujifunza kuwa wanyenyekevu, kama binadamu tunaweza kukosea lakini tunaweza kurekebisha'-Waziri Nape

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

LIVE: Waziri wa Habari Nape Nnauye anaongea na waandishi wa habari https://t.co/4RTRHgTj11

— millardayo (@millardayo) March 22, 2017

VIDEO: ‘Hatutaandika wala kutangaza habari za RC Makonda’ – Jukwaa la Wahariri, Bonyeza play hapa chini kutazama

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: Dar es salaam NEWS, TZA HABARI
Edwin Kamugisha TZA March 22, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Kardinal Jento katuletea video mpya inaitwa ‘Kula kuku kula mayai’
Next Article FULL VIDEO: Askofu Gwajima alivyotembelea Clouds Media Group leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?