Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wachina hawana utani, kesi ya kuwinda ndege tu unakutana na kifungo miaka 10 jela ..!!
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Wachina hawana utani, kesi ya kuwinda ndege tu unakutana na kifungo miaka 10 jela ..!!
Duniani

Wachina hawana utani, kesi ya kuwinda ndege tu unakutana na kifungo miaka 10 jela ..!!

December 2, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

Unajua ukizitaja nchi ambazo zimekuwa zikizungumziwa sana kuwa na sheria ngumu na kali, China nayo imo… unaweza kuona ishu ya kukamatwa unawinda ndege ni kesi ndogo lakini sio kesi ndogo kwa Wachina.

Vijana wawili ambao ni wanafunzi wa Chuo wamejikuta kwenye mikono ya Mahakama na kesi ya kujibu kwa tuhuma za kuwinda ndege ambao wamo kwenye list ya viumbe vilivyo hatarini kutoweka.

Kesi yao ilikuwa kwenye Mahakama ya Huixian county na hukumu kutoka Mahakamani hapo inasomeka hivi; kila mmoja wao amepigwa faini ambayo ni sawa na Tshs. Mil.3.2 kwa kosa la kuwinda ndege hao na pia kuwauza, na mwisho wa yote ni kifungo cha miaka 10 na miezi sita kila mmoja jela.

Jamaa walinaswa baada ya kuwinda ndege hao 12, mmoja alikufa mwingine akatoroka.. wengine 10 waliwauza kwa njia ya mtandao  ambapo jumla ya pesa waliyopata inagusa kama laki tatu na nusu tu !!..

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa>>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

You Might Also Like

Silent Ocean imetupitisha kwenye Masoko ya vifaa mbalimbali Dubai, tazama (video+)

Forbes wamtangaza Melinda alieachana na Bill Gate kuwa Bilionea mpya, ashika namba hii

‘China haipotei kisha Marekani’- Wizara ya Mambo ya Nje China

China wasema Marekani haijaikomoa shirika la Afya Duniani

Video:Mtanzania aliyeenda China na balance ya dola 20, anaishije wakati kuna Corona?

TAGGED: China, duniani
Millard Ayo December 2, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Sentensi nne za DC Paul Makonda alivyomalizana na mgomo kiwanda cha URAFIKI Dar..
Next Article Matatu ya kufahamu kutoka kwa Tiwa Savage >>> mtoto, mapenzi na imani ya kiroho!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?