“Kutokana na hali ya Ugonjwa wa Corona nchini kuendelea vizuri na kwa kweli imepungua sana, napenda nitumie nafasi hii kutangaza kwamba tarehe 29 Juni, 2020 Jumatatu, shule zote zifunguliwe zilizokuwa zimebaki” Rais Magufuli ametoa tamko hili leo Juni 16, wakati akihutubia bunge la 11 jijini Dodoma.
“Corona imepungua Shule zote zifunguliwe June 29, harusi ziendelee kufungwa” Rais Magufuli
Leave a comment
Leave a comment