Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike
Top Stories

CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike

September 27, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Kamishna wa Polisi Utawala menejimenti ya rasilimali watu CP Suzan Kaganda amerejea nchini na wajumbe aliokuwa ameongozana nao katika Mkutano wa mwaka 2023 wa shirikisho la Jumuiya ya Polisi wanawake Duniani (IAWP) uliofanyika katika mji wa Auckland New Zealand kuanzia Septemba 17 hadi 21,2023.

CP Kaganda amesema lengo la Mkutano huo ni kuwajengea uwezo na kupata mafunzo askari wakike ili waweze kufanya kazi kwa weledi na kutoa huduma bora na nzuri kwa wananchi ambao wanategemea huduma kutoka kwa Jeshi hilo ambalo lina dhamana ya kuwalinda raia na mali zao.

Vilevile Kamishna Kaganda ameongeza kuwa lengo mahususi katika Mkutano huo ni nikuongeza mtandao, mashirikiano na mataifa mengine ya Ulaya na Afrika ili kubadilishana uzoefu katika utendaji wa kazi huku akimshukuru Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyo wawezesha askari wakike kushiriki mikutano mikubwa ya ndani nan je ya nchi ambayo imeleta matokeo Chanya ya kiutendaji.

Sambamba na hilo amemshukuru Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura kwa namna anavyowahamasisha katika ushiriki wa mikutano ya Jumuiya ya Polisi wanawake duniani (IAWP) ambapo ameamtaka Kuwafundisha askari wakike mambo waliojifunza katika mkutano wao uliofanyika Auckland New Zealand.

Nae Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala Kamshna msaidizi wa Polisi ACP Debora Magiligimba ambaye ni mjumbe kutoka Tanzania aliyechaguliwa kuongoza kanda ishirini na moja za nchi za SADC amesema mikutano hiyo ambayo inafanyika kimataifa na kikanda imelenga kuwajengea uwezo askari wa kike duniani huku akibainisha kuwa askari wakike walioshiriki katika Mkutano wa mwezi Julai uliofanyika hapa nchini umewajenga na kuonyesha mabadiliko makubwa ya kiutendaji kutokana na mafunzo hayo.

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA September 27, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram
Next Article Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023

You Might also Like

Entertainment

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

December 8, 2023
Entertainment

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

December 8, 2023
Entertainment

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

December 8, 2023
Entertainment

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

December 7, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?