Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid
Share
Notification Show More
Latest News
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
September 27, 2023
Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7
September 27, 2023
Ukraine yawashikilia wanaume 2 wanaotuhumiwa kuisaidia Urusi katika mgomo wa Kiev
September 27, 2023
Nigeria: Polisi wamemkamata mwizi wa simu za mkononi akiwa na simu 890 alizoziiba.
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid
Sports

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

May 29, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Nahodha wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ameripotiwa kuwasiliana na wapinzani wa Real Madrid wa Ligi Kuu ya Uhispania La Liga Atletico Madrid kuhusu uhamisho wa kwenda Uhispania.

Ronaldo anataka kuondoka Saudi Arabia, miezi michache tu baada ya kujiunga na Al-Nassr kwa uhamisho wa bure.

Kulingana na ripoti ya El Nacional, fowadi huyo wa zamani wa Manchester United hana furaha Mashariki ya Kati na anatafuta njia ya kutoroka.

Nahodha huyo wa Ureno ameamua kwamba anataka kurejea Ulaya kwa sababu za nje ya uwanja na anaitolea macho Atletico Madrid.

Atletico Madrid ilimtoa kwa mkopo Joao Felix kwenda Chelsea, na ripoti zinaonyesha kuwa wababe hao wa Premier League wako tayari kumbakisha kwa kudumu. Rojablancos pia walimruhusu Matheus Cunha ajiunge na Wolves na sasa wanatafuta washambuliaji.

Hata hivyo, ripoti hiyo iliongeza kuwa Ronaldo anataka kutumia fursa hiyo na anashinikiza kujiunga na Atletico Madrid msimu huu wa joto.

You Might Also Like

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka

Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi

Ukraine yawashikilia wanaume 2 wanaotuhumiwa kuisaidia Urusi katika mgomo wa Kiev

Mwanamke aliyeshinda taji la Miss Zimbabwe azua mzozo wa ubaguzi wa rangi

Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA May 29, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Bola Ahmed Tinubu ameapishwa kama rais mpya wa Nigeria
Next Article Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
Top Stories September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
Top Stories September 27, 2023
Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7
Top Stories September 27, 2023
Ukraine yawashikilia wanaume 2 wanaotuhumiwa kuisaidia Urusi katika mgomo wa Kiev
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka

September 27, 2023
Top Stories

Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi

September 27, 2023
Top Stories

Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7

September 27, 2023
Top Stories

Nigeria: Polisi wamemkamata mwizi wa simu za mkononi akiwa na simu 890 alizoziiba.

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?