Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kuelekea countdown ya birthday yake, Davido ameamua kujizawadia ndinga hii mpya! (+Pichaz)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Kuelekea countdown ya birthday yake, Davido ameamua kujizawadia ndinga hii mpya! (+Pichaz)
Habari za Mastaa

Kuelekea countdown ya birthday yake, Davido ameamua kujizawadia ndinga hii mpya! (+Pichaz)

November 9, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Davido anazidi kuonyesha uwezo wake wa kuchop money kadri siku zinavyoenda… zimebaki wiki kama mbili kufikia tarehe 21 Novembeer 2015, siku ya kuzaliwa kwa Mkurugenzi wa HKN Music, David Adeleke.

Tarehe 21 November 2015, Davido atakuwa anatimiza miaka 23, na staa huyo wa muziki kutoka Nigeria ameamua kujizawadia mapema ikiwa ni sehemu ndogo ya maandalizi kuelekea siku yake kubwa.

R82

Mkurugenzi huyo wa HKN Music kaamua kujizawadia toleo jipya la gari, Audi R8 ambalo kwa mujibu wa jarida la Car Magazine, Audi R8 ni miongoni ya magari ya kisasa zaidi yani ‘2015 supercar’ kwa mwaka 2015… kupitia page yake ya Instagram, Davido alipost picha ya gari hilo na caption iiyosema…

>>> “ Early birthday gift to myself!! My R8!! Finally here!!!!! THANK GOD for his continuous BLESSINGS!! Watch wat comes next!!! @benzaiautogroup THANK YOU! ” <<< @davidoofficial.

R8

Gari jipya la Davido, Audi R8 linaongeza namba ya idadi ya magari aliyonayo msanii huyo, inawezekana unajua ama hujui ila staa huyo wa muziki kutoka Nigeria ana jumla ya magari saba ya kifahari kufikia mwaka 2015, ukitoa hili jipya mengine aliyonayo Davido ni pamoja na…

1. Mercedes G-Wagon.

DAVIDO8
2. 2015 Range Rover Sport SUV.

DAVIDO11
3. 2012 Audi Q7.

DAVIDO4
4. Chevrolet Camaro.

DAVIDO6
5. 2012 Honda

DAVIDO9
6. Porsche Turbo.

DAVIDO10
Gari jeupe kwenye hii picha ndio Porsche Turbo miongoni mwa yale saba ya kifahari ya Davido.

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Nigeria
Millard Ayo November 9, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kama kuna hukumu za kushtua iko na hii, miaka 885 jela !! Kisa..? Stori na video yake..
Next Article Rais Magufuli kashtukiza tena na leo kwa ziara ya ghafla…
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?