Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira DSM (DAWASA) imefanya mabadiliko katika mzunguko wa usomaji mita na utumaji wa ankara yaani bill za maji kwa wateja wake kutoka tarehe 1 hadi 15 ya kila mwezi kwenda tarehe 20 hadi 30.
DAWASA imebadili utaratibu wa utumaji bill za maji “ndani ya siku 30 malipo”
Leave a comment
Leave a comment