Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ifahamu stori iliyomkutanisha D’Banj na Kanye West mpaka kutengenezwa kwa ‘Oliver Twist’!
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
December 5, 2023
Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+
December 5, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Ifahamu stori iliyomkutanisha D’Banj na Kanye West mpaka kutengenezwa kwa ‘Oliver Twist’!
Habari za Mastaa

Ifahamu stori iliyomkutanisha D’Banj na Kanye West mpaka kutengenezwa kwa ‘Oliver Twist’!

December 23, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

Kati ya ngoma kubwa za staa wa muziki kutoka Nigeria, D’Banj huwezi kuacha kuitaja hit song ya Oliver Twist… Nimekutana na interview ya D’Banj na jarida la Forbes Africa (December 2015) na kikubwa kilichonigusa ni stori iliyompelekea mpaka kukutana na Kanye West na hatimaye kupata mchongo wa kutengeneza ‘Oliver Twist’ single yake ya kwanza chini ya G.O.O.D Music lebo inayomilikiwa na Kanye West.

BANJ3
D’Banj.

>>> “Kanye West na mimi tulikutana kwa bahati mbaya… nilikuwa Dubai  na crew yangu tukisubiri kubadilisha ndege, tukiwa tunasubiri wahudumu kadhaa wa ndege wakaja kwangu kwa spidi huku wakiita ‘Mr Kanye West’… nikashangaa na kujitazama juu mpaka chini na kisha nikawatazama na waliponikaribia nikatoa mkono na kuwaambia ‘mambo naitwa D’Banj lakini kama nafanana na Kanye West basi inamaanisha yupo maeneo haya..’. Tukaanza kumtafuta na tulipompata tukamuelezea kilichotokea na hapo ndipo kila kitu kilipoanzia… Nilikutanishwa na Kanye baada ya wahudumu wa ndege kunifananisha naye...” <<< D’Banj.

BANJ4
Kanye West.

Baada ya D’Banj na Kanye West kukutana Airport, Dubai, wawili hao waliongea mengi na D’Banj akatumia fursa hiyo kumsikilizisha Kanye baadhi ya kazi zake… baada ya rapper huyo wa Marekani kuvutiwa na midundo ya D’Banj mastaa hao wakapeana namba kisha wakaachana…

>>> “Baada ya kukaa na kuzungumza naye mambo mengi, akaomba tubadilishane namba… nikampatia yangu akanipatia yake tukaachana. Baada ya wiki kadhaa akanipigia na kuniomba niende Los Angeles kwa mazungumzo zaidi, nilipofika huko Kanye akanitambulisha kwa mastaa wenye majina makubwa kwenye muziki kama Big Sean, Pusha T, Hit-Boy na LA Ried… tukasign mikataba na siku chache badaaye tukarekodi ‘Oliver Twist’…” <<< D’Banj.

SONY DSC

Single ya Oliver Twist ilimpa D’Banj mafanikio makubwa kwenye levo za kimataifa pamoja na kukuza jina lake kwenye nchi kama Uingereza na Marekani… na kwa sasa single ya ‘Oliver Twist’ inagusa watazamaji milion 36, 422, 917 kwenye mtandao wa YouTUBE ikiwa ni moja ya videos za wasanii wa Africa ziliyotazamwa zaidi!

OLIVA

Itazame Oliver Twist kwenye hizi dakika tatu hapa chini.

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.



You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: Nigeria
Millard Ayo December 23, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)
Next Article Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendelea stendi ya mabasi Ubungo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
Top Stories December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
Top Stories December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
Sports December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
Sports December 5, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

December 5, 2023
Sports

Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi

December 5, 2023
Top Stories

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

December 5, 2023
Top Stories

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

December 5, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?