Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: DC Jokate afanya ziara ya kushtukiza ofisi za Tanesco, kafanya maamuzi haya
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > DC Jokate afanya ziara ya kushtukiza ofisi za Tanesco, kafanya maamuzi haya
Top Stories

DC Jokate afanya ziara ya kushtukiza ofisi za Tanesco, kafanya maamuzi haya

January 13, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Mh. Jokate Mwegelo amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za TANESCO wilayani humo na kukutana na malalamiko lukuki kutoka kwa Wananchi waliofika katika ofisi hizo, wakidai kucheleweshwa kwa uwekwaji umeme majumbani mwao, ikiwemo kero ya kukatika kwa umeme na hivyo kusababisha hasara kubwa kila uchwao kwa vyombo vinavyotumia nishati hiyo.

Mh. Jokate ameagiza kuswekwa rumande kwa baadhi ya watendaji wa idara hiyo, huku akiutaka uongozi kuhakikisha inatatua kero inayowakabili wananchi haraka iwezekanavyo.

‘Kuna watandaji wahusika wa control number, quantity surveyors na waandikisha mita waliwekwa ndani kuhojiwa, Ila nilitaka uongozi mzima wakiongozwa na meneja wa Tanesco Kisarawe kuhakikisha wananchi wote waliopo ofisi wanatatuliwa kero zao na wakeshe mpaka wananchi wote waishe. Ila Pia uongozi wa pale inafaa ubadilishwe maana usimamizi ni mbovu na hakuna huduma bora kwa wananchi’- DC Jokate Mwegelo

 

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: AyoTV
Edwin TZA January 13, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Salamu za Shilole kwa Baba Levo ‘Jipange, utarudi tu’ kaka wa Aunt Ezekiel aingilia kati
Next Article Lisa mwanamke wa kwanza kunyongwa Marekani toka 1953
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?