Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili
Top Stories

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

January 27, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

KUKITHIRI kwa vitendo vya ukatili kwa Watoto nchini, Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekutana na Waziri wa Jinsià, Maendeleo na Makundi Maalum pamoja na Waziri wa Elimu Adolf Mkenda kuweka mkakati wa kushirikiana katika kukomesha vitendo hivyo.

Akizungumza leo mjini Dodoma, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Fadhili Magaya amesema ushirikiano kati ya Jumuiya na Wizara hizo itasaidia kudhibiti vitendo hivyo.

Amesema ukatili dhidi ya watoto na wanawake hujitokeza katika njia tofauti tofauti. Inaweza kuwa kimwili, kingono au kifikra. Inaweza kufanyika mbele za watu, faraghani au mtandaoni na kutekelezwa na mpenzi au mtu mwingine yoyote.

Bila kujali unafanyika vipi, wapi na umetekelezwa nani au ni kwa sababu gani? Ukatili una madhara makubwa ya muda mfupi au muda mrefu.

Amesema, jumuiya hiyo ya wazazi ina wajibu wa kusimamia Elimu,malezi, maadili na tamaduni kwenye Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Aidha, amesema wameandaa Kongamano Maalum la Kitaifa la Malezi litakalo fanyika mapema mwaka huu.

.
.

Magaya amesema bado mazungumzo yanaendelea na wadau wengine ili kuibua mjadala wa kitaifa wa mmomonyoko wa maadili unaendelea kwa kasi kubwa hapa nchini na ukatili wa kijinsia na watoto unaoendelea.

“Jumuiya ya wazazi ina wajibu wa kuisimamia na kuitekeza sera ya Malezi ya watoto na vijana ya Taifa ya mwaka 1987 ambayo Kongamano hili inaenda kuibua mjadala wa uboreshwaji wa sera hii ili kwenda na nyakati za sasa lakini pia kuibua mjadala wa malezi mema unaozingatia maadili bila kupoteza utambulisho wa mila na tamaduni zetu za Kitanzania.“Amesena

Kikao hicho kimeudhuriwa na Mwenyekiti wa wazazi Mkoa wa Dar es Salaam Khadija Ally Said ambae ndio mwenyeji wa Kongamano hilo litakalozinduliwa rasmi Kitaifa ndani ya mkoa wa Dar es Salaam.

You Might Also Like

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Edwin TZA January 27, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”
Next Article Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?