NI Headlines za Mkali kutokea Afrika Kusini, Cassper Nyovest ambae bado anaendelea na utoaji wa burudani nchini Tanzania na usiku wa kuamkia leo aliwaimbia live watanzania waliofika pembeni mwa fukwe za baharı huko Kidimbwi Dar es Salaam, Sasa miongoni mwa suprise ni hii ya Diamond Platnumz kupanda jukwaani na kusema tutegemee collabo kati Yao.
Diamond akizungumza mbele ya Cassper Nyovest Kidimbwi Beach, asema tutegemee collabo
Leave a comment
Leave a comment