Usiku wa Mei 11, 2022 kulifanyika birthday party ya Meneja wa Diamond Platnumz aitwae Sallam hapa nimekusogezea ushuhudie alivyowasili Diamond pamoja na alichokisema Sallam SK kuhusu Diamond kununua ndege yake biinafsi ‘Private Jet’.
Diamond alivyotua kwenye birthday party ya Meneja wake, Baba Levo na Sallam waongea kuhusu ‘Private Jet’

Leave a comment
Leave a comment