Katika hali isiyokuwa ya kawaida wapinzania wa muda mrefu kwenye Bongofleva Diamond Platnumz, Alikiba pamoja na Harmonize wamekalishwa meza moja Ikulu Jijini Dodoma.
Diamond, Harmonize, Alikiba wakalishwa meza moja Ikulu Dodoma (+video)
Leave a comment
Leave a comment