Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nyumba za Mbwa ghali zaidi…ipo ya hadi Tsh. 715m (+list Top 7)
Share
Notification Show More
Latest News
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Nyumba za Mbwa ghali zaidi…ipo ya hadi Tsh. 715m (+list Top 7)
Mix

Nyumba za Mbwa ghali zaidi…ipo ya hadi Tsh. 715m (+list Top 7)

June 24, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Sahau kuhusu chakula cha gharama na wakati mwingine mavazi na vitu vya thamani ambavyo wanaojua thamani ya viumbe hai wasio binadamu huwanunulia viumbe hao.

Tumekuwa tukishuhudia namna nyumba za Mbwa zinavyokuwa mara nyingi ni kama sehemu ambayo hastahili kuishi kiumbe lakini wapo wanaojua thamani ya Mbwa na huamua kujitoa kwa ajili yao.

Hizi hapa ni nyumba za Mbwa 7 ghali zaidi duniani.

7: The Farmhouse

Hii inatajwa pia kuwa miongoni mwa nyumba za Mbwa zenye thamani kubwa. Nyumba hii licha ya kuwa na madirisha yenye vioo lakini ina vyumba vingi. Ni nyumba ambayo ina thamani ya Dollar 2,200 ambazo ni sawa na Tsh. 4.8m.

6: The Hunderhaus Cubix

Kama unatafuta nyumba kwa ajili ya Mbwa wako, hii itakufaa. Ina madirisha ya vioo kwa ajili ya kupitisha mwanga na kwa namna ilivyojengwa humfanya Mbwa aishi sehemu yenye usalama zaidi. Unaambiwa kama unahitaji nyumba hii utalazimika kulipa zaidi ya Dollar 2,600 ambazo ni sawa na Tsh. 5.7m.

5: The Dream Come True

Ni miongoni mwa nyumba za Mbwa nzuri zenye kupendeza ambapo unaambiwa ukihitaji utalazimika kulipa Dollar 2,600 sawa na Tsh. 5.7m.

4: The Palace

Kama unahitaji Mbwa wako kuishi katika nyumba hii ambayo ni moja kati ya nyumba za Mbwa nzuri na zenye gharama utalazimika kulipa Dollar 5,400 sawa na Tsh. 11.8m.

3: The Colonial

Nyumba hii ilibuniwa na La Petite Maison na gharama yake ni Dollar 6,100 sawa na Tsh. 13.4m. Unaambiwa nyumba hii ilibuniwa kama nyumba ya mmiliki wa Mbwa.

2: The Hacienda

Ulishawahi kufikiria nyumba ya Mbwa kuwa na maji yatembeayo, umeme na AC? Hujawahi, lakini yupo ambaye amefanya hivyo kwa ajili ya Mbwa wake. Nyumba hii ilimgharimu mteja Dollar 30,000 sawa na Tsh. 66m.

1: The Mansion

Unaweza kufikiria kutumia Dollar 325,000 sawa na zaidi ya Tsh. 715m kwa ajili ya nyumba ya Mbwa? Hivyo ndivyo alivyofanya Paris Hilton. Mbwa wake sita wanalala sehemu hii. Ina eneo la square 300 na imejengwa kwa mfano wa nyumba yake.

EXCLUSIVE: Ebitoke afunguka baada ya kukutana na Ben Pol!!!

You Might Also Like

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

Msaada wa pikipiki kwa Polisi kulinda Watalii

TAGGED: Pichaz
Millard Ayo June 24, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 9: IGP Sirro alivyofunga mafunzo ya Maafisa Uhamiaji leo CCP, Moshi
Next Article PICHA: Heshima aliyopewa Victor Wanyama na kamati ya Kata ya Ubungo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?