Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Dorah ashindwa kujizuia amwaga machozi asimulia magumu aliyopitia kwenye maisha yake
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
February 2, 2023
Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Dorah ashindwa kujizuia amwaga machozi asimulia magumu aliyopitia kwenye maisha yake
AyoTV

Dorah ashindwa kujizuia amwaga machozi asimulia magumu aliyopitia kwenye maisha yake

January 6, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Mwigizaji Dorah ni miongoni mwa wasanii watakaonekana katika tamthilia mpya iitwayo Jua Kali ambayo imezinduliwa leo January 6, 2021, sasa Dorah amejikuta kwenye wakati mgumu katika uzinduzi huo baada ya kushindwa kujizuia kumwaga machozi huku akisimulia  maisha magumu aliyopita.

Staa huyo akizungumza na Ayo TV & Millardayo.com alisema ‘Najisikia vibaya sana kuona watu wananisema kutokana na nilivyo mimi Dorah ila sikupenda niwe hivi, na katika tamthilia hii ya Jua Kali nimeigiza husika wangu huu huu na kupeleka ujumbe kwa jamii’- Dorah 

Dorah ni Mwigizaji wa Filamu mwenye miaka 25, itazame hii video hapa ujionee akielezea mengineo

You Might Also Like

Mfahamu dereva wa ndugu abiria anae-trend mtandaoni afunguka

Rapper Post Malone katuletea ‘Motley Crew’ (video+)

Mrembo Angelina Jolie na The Weeknd gumzo mitandaoni

Yung Bleu, Chris Brown & 2 Chainz wametuletea video maya ‘Baddest’

Warembo TXC kutua Tanzania, kunogesha ‘Arusha na DAR’ wikiendi hii

TAGGED: ayotventertainment
Edwin TZA January 6, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article AMAPIANO:Ngoma 11 kali ambazo hautozijutia kuzisikiliza kutokea Afrika Kusini
Next Article Mastaa Quick Rocka, Mimi Mars, Lulu Diva na TID kwenye tamthilia moja, mtayarishaji kafunguka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
Top Stories February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
Sports February 2, 2023

You Might also Like

Sports

Tanzania Ligi namba 5 kwa Ubora Afrika

February 2, 2023
Sports

Mchezaji mwenye umri mkubwa (55) asaini Ureno

February 2, 2023
Sports

PSG wachukizwa na Chelsea kukwamisha usajili wa Ziyech

February 1, 2023
Sports

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

February 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?