Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wizkid kuujaza ukumbi watu Elfu 20,000 katika tamasha la Starboy Fest Uingereza
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 28, 2023
March 28, 2023
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Burudani > Wizkid kuujaza ukumbi watu Elfu 20,000 katika tamasha la Starboy Fest Uingereza
BurudaniMix

Wizkid kuujaza ukumbi watu Elfu 20,000 katika tamasha la Starboy Fest Uingereza

October 17, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

NI Msanii wa Nigeria, Wizkid ambae tayari ameshafika nchini Uingereza kwenye maandalizi yake ya tamasha lake aliloliandaa lililopewa jina la Starboy Fest.

Tamasha hilo litaanzia katika jiji la Manchester mnamo October 18, 2019  huko Uingereza ambapo Wizkid akiwa na wasanii wenzake watatoa burudani hiyo katika ukumbi uitwao The 02 ambao tayari umeripotiwa kwamba yameshafanyika mauzo ya tiketi za awali na kumalizika.

Wasanii waliotajwa kuungana na Wizkid katika tamasha hilo la Starboy Fest akiwemo Tiwa Savage,Fireboy DML, Reekado Banks, Innoss’b , Afro B, Oxlade na wengineo.

Starboy Fest ni tamasha linatarajiwa kufanyika katika jiji la Manchester October 8, Uingereza October 19 na Ufaransa October 26

 

 

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

TAGGED: starboy, wizkid
Edwin TZA October 17, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Uzinduzi wa movie ya Gemini Man imewakutanisha wake za Will Smith
Next Article Video: Dogo Janja kafunguka ‘naogopa zinaa, video za menina, siwezi jirekodi’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 28, 2023
Magazeti March 28, 2023
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?