Wilaya ya Kwimba imetekeleza shughuli za Maendeleo ikiwemo utoaji wa Huduma za kijamii, katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia tangu Serikali ya awamu ya sita iiingie madarakani, AyoTV imefika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Johari Samizi kufahamu ni yapi yamefanyika kwa Wilaya hiyo kwa mwaka 2021/2022.
Drone: Rais Samia atoa zaidi ya Bilioni 20, Wilaya ya Kwimba
Leave a comment
Leave a comment