Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Alichokiandika Davido baada ya ‘Skelewu’ kutumika kwenye movie kubwa Hollywood
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Alichokiandika Davido baada ya ‘Skelewu’ kutumika kwenye movie kubwa Hollywood
Habari za Mastaa

Alichokiandika Davido baada ya ‘Skelewu’ kutumika kwenye movie kubwa Hollywood

September 21, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Mkali kutoka Lagos Nigeria, Davido kupitia mtandao wake wa Twitter amefunguka namna ambavyo ameshangazwa na kufurahishwa baada ya Hit song yake ya Skelewu kutumika katika moja ya movies kubwa huko Hollywood Marekani. Movie hiyo (Qween of Katwe) ambayo amecheza Lupita N’yongo na David Oyelowo kama wahusika wakuu.

“Sikuwahi kufikiri ningeweza kusikia Skelewu kwenye movie ya Disney. Nimestaajabu#QweenofKatwe @iamshizzi CRAZY SHIT @Lupita_Nyongo Ubarikiwe!!

davido

Movie hiyo ambayo Lupita pamoja na David Oyelewo wameanza kuipiga promo itatoka rasmi Sept 31 kwenye majumba ya sinema mtu wangu.

KAMA BADO HUJAIONA, UNAWEZA KUICHECK TRAILER YA MOVIE HIYO YA QWEEN OF KATWE>>>

KAMA ULIMISS MANENO YA WEMA SEPETU , AKIWATIMUA TIMU WEMA>>.

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: davido ayotv
Admin September 21, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Vodacom Tanzania wamezitenga mil 300 kwa ajili ya wateja wake
Next Article AUDIO: TFF imetangaza kusitisha matumizi ya uwanja wa Uhuru kwa wiki tatu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?