Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu
Share
Notification Show More
Latest News
Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’
August 14, 2022
Baada ya kipigo Ahmed Ally atoa kauli ya faraja kwa Wana Simba ‘Tunapitia maumivu makali mno’
August 14, 2022
Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022
August 14, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022
August 14, 2022
Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu
Habari za MastaaMix

Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu

September 23, 2016
Share
1 Min Read
LOS ANGELES, CA - JUNE 29: Musician Davido (C) accepts Best International Act: Africa onstage during the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California. (Photo by Kevin Winter/Getty Images for BET)
SHARE

September 23, 2016 jina la msanii Davido kutoka nchini Nigeria linazidi kuzungumzwa kila kona na safari hii sio kwa uzuri sana mtu wangu, maswali ni mengi juu ya ukimya wake kwenye kiwanda cha muziki. Hii imemfanya Davido kufunguka juu ya sababu za kupotea kwake.

Jina la Davido limekosekana kwenye vipengele vya tuzo nyingi zilizotolewa na kutajwa mwaka 2016, Ish hii imemfanya mmoja kati ya mashabiki wake kuandika kwenye Twitter juu ya nini kinachoendelea.

Sum of these artist only got nominated because @iam_Davido left the scene for 8months to work on new project wiv Sony/RCA . #FactsOnly.

— IAMTJ🌍onnects (@iAmTJConnects) September 21, 2016

Kwa bahati nzuri, Davido alimjibu shabiki wake na kukiri kuwa hastahili kuwepo kwenye list ya washindi au wanaowania tuzo mbalimbali kwa mwaka 2016.

I really shouldn't be nominated this year For what?? I got three MAMAS in two years I'm good ! Still gonna be a great show! BUT NEXT YEAR 😈 https://t.co/OV071NvkcU

— Davido (@davido) September 21, 2016

Mara ya mwisho kwa msanii Davido kuachia kazi zake ilikuwa ni miezi 11 iliyopita, na ilikua single ya ‘The Money’ aliyompa collabo Olamide na ilitoka November 7, 2015.

ULIKOSA KUMJUA MSHINDI WA TUZO YA MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI VPL? PITIA HAPA CHINI

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

TAGGED: davido ayotv
Millard Ayo September 23, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article RIPOTI: Kuhusu idadi ya watu waliouawa na askari nchini Marekani
Next Article VideoFUPI: Ombi alilopokea Rais Obama kuhusu mtoto Omran wa Syria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’
Sports August 14, 2022
Baada ya kipigo Ahmed Ally atoa kauli ya faraja kwa Wana Simba ‘Tunapitia maumivu makali mno’
Sports August 14, 2022
Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022
Top Stories August 14, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022
Magazeti August 14, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022

August 12, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 11, 2022

August 11, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 10, 2022

August 10, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 9, 2022

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?