Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu
Habari za MastaaMix

Alichokisema Davido baada ya jina lake kutotajwa kwenye tuzo mwaka huu

September 23, 2016
Share
1 Min Read
LOS ANGELES, CA - JUNE 29: Musician Davido (C) accepts Best International Act: Africa onstage during the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California. (Photo by Kevin Winter/Getty Images for BET)
SHARE

September 23, 2016 jina la msanii Davido kutoka nchini Nigeria linazidi kuzungumzwa kila kona na safari hii sio kwa uzuri sana mtu wangu, maswali ni mengi juu ya ukimya wake kwenye kiwanda cha muziki. Hii imemfanya Davido kufunguka juu ya sababu za kupotea kwake.

Jina la Davido limekosekana kwenye vipengele vya tuzo nyingi zilizotolewa na kutajwa mwaka 2016, Ish hii imemfanya mmoja kati ya mashabiki wake kuandika kwenye Twitter juu ya nini kinachoendelea.

Sum of these artist only got nominated because @iam_Davido left the scene for 8months to work on new project wiv Sony/RCA . #FactsOnly.

— IAMTJ🌍onnects (@iAmTJConnects) September 21, 2016

Kwa bahati nzuri, Davido alimjibu shabiki wake na kukiri kuwa hastahili kuwepo kwenye list ya washindi au wanaowania tuzo mbalimbali kwa mwaka 2016.

I really shouldn't be nominated this year For what?? I got three MAMAS in two years I'm good ! Still gonna be a great show! BUT NEXT YEAR 😈 https://t.co/OV071NvkcU

— Davido (@davido) September 21, 2016

Mara ya mwisho kwa msanii Davido kuachia kazi zake ilikuwa ni miezi 11 iliyopita, na ilikua single ya ‘The Money’ aliyompa collabo Olamide na ilitoka November 7, 2015.

ULIKOSA KUMJUA MSHINDI WA TUZO YA MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI VPL? PITIA HAPA CHINI

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

TAGGED: davido ayotv
Millard Ayo September 23, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article RIPOTI: Kuhusu idadi ya watu waliouawa na askari nchini Marekani
Next Article VideoFUPI: Ombi alilopokea Rais Obama kuhusu mtoto Omran wa Syria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?