Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la Polisi limetangaza uhaba wa bangi Marekani
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Jeshi la Polisi limetangaza uhaba wa bangi Marekani
Mix

Jeshi la Polisi limetangaza uhaba wa bangi Marekani

July 13, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ni kazi yangu kuhakikisha haupitwi na habari yoyote, imenifikia hii kutoka jeshi la polisi jimbo la Nevada nchini Marekani walioamua kutangaza uhaba mkubwa bangi hivyo kuchukua hatua za dharura kukabiliana na tatizo hilo.

Jeshi la polisi huko Nevada, Marekani limetangaza dharura baada ya kutokea uhaba wa bangi, mahitaji yamekuwa makubwa kuzidi upatikanaji wake pic.twitter.com/BQxguWqYtv

— millardayo (@millardayo) July 13, 2017

Marekani ina majimbo takaribani 25 ambayo yameruhusu matumizi ya bangi tangu mwaka 2001 hali ilifanya mahitaji kuwa makubwa tangu kuhalalishwa kwa mmea huo kwa matumizi ya kujiburudisha kwa binadamu ambao wamedai kuna upungufu wa wauzaji wa kutosha.

Sheria iliwapa wauzaji wa pombe ruhusa ya kuuza bangi lakini wengi hawatimizi mahitaji ya leseni kuweza kuuza bidhaa hizo. Idara ya kodi katika jimbo hilo ilitangaza dharura inayomaanisha kuwa maafisa watachukua hatua kukabiliana na uhaba huo.

Mauzo ya karibu dola milioni 3 yalikadiriwa ndani ya siku nne za kwanza baada ya matumizi ya bangi kuhalalishwa nchini Marekani, jimbo la Nevada nalo lilipiga kura ya kuhalalisha matumi ya bangi kama kiburudisho tangu November 2016.

BBC

VIDEO: Ilikupita hii ya jamaa aliyekamatwa na Bangi Kagera jinsi alivyojitetea? Bonyeza play kutazama

VIDEO: Mfungwa Mtanzania gerezani China alivyompigia simu Millard Ayo. Bonyeza play hapa kujua alichokisema

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

Admin July 13, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article BREAKING: Ilichoamua Mahakama kwa Vigogo wa TRA waliodaiwa kuhujumu Bil. 12.7
Next Article Maneno ya aliyetobolewa macho na Scorpion baada ya kudaiwa kutelekeza mke
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?