Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: AUDIO: Kauli ya Msuva baada ya kupokea kwa mshituko Kapombe kustaafu
Share
Notification Show More
Latest News
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > AUDIO: Kauli ya Msuva baada ya kupokea kwa mshituko Kapombe kustaafu
AyoTVSports

AUDIO: Kauli ya Msuva baada ya kupokea kwa mshituko Kapombe kustaafu

November 5, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa nchini Morocco katika club ya Difaa El Jadid Simon Msuva, ameeleza masikitiko yake kuhusiana na mchezaji mwenzake wa Taifa Stars kustaafu.

Msuva amepokea kwa masikitiko taarifa za Shomari Kapombe kutangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars, Kapombe katangaza kustaafu kucheza timu ya taifa kwa sababu ya kuwa na majeraha ya muda mrefu.

Hata hivyo Kapombe kaeleza kuwa ana imani kuwa atarejea timu ya taifa endapo tu atakuwa yuko fiti kwa asilimia 100 na kocha akiona anahitaji mchango wake.

VIDEO: Mpoki alivyomvunja mbavu Rais Mstaafu Kikwete

You Might Also Like

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Gianni Infantino achaguliwa tena kuwa Rais FIFA.

FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.

TAGGED: Ayo TV, AyoTV, Soka bongo
Rama Mwelondo TZA November 5, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Jopo la wanunuzi wakubwa wa Tanzanite Duniani latembelea Mirerani
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania November 5, Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
Top Stories March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Top Stories

“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?