Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Eng. Hersi Rais ajaye Yanga SC ndio mgombea pekee
Share
Notification Show More
Latest News
Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Eng. Hersi Rais ajaye Yanga SC ndio mgombea pekee
Sports

Eng. Hersi Rais ajaye Yanga SC ndio mgombea pekee

June 11, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Kamati ya Uchaguzi Yanga SC leo imetaja list ya wagombea waliopitishwa kugombea nafasi mbalimbali katika Uongozi wa Yanga SC.

Eng. Hersi Ally Said anapita na kuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais wa club ya Yanga SC wakati nafasi ya makamu wa Rais yakipita majina mawili ya Arafat Haji anayetambiliwa kuwa Makamu wa Rais ajaye Yanga na Suma Mwaitenda.

Arafat Haji na Hersi Said.

Hata hivyo katika nafasi ya ujumbe wa kamati ya Utendaji ambapo kwa mujibu wa katiba ya Yanga itakuwa na wajumbe watano yamepitishwa majina 22 kati ya 27 likiwemo jina la Mbunge wa Manonga Seif Khamisi Gulamali.

Majina matano yaliokatwa kwa kigezo cha kushindwa kukidhi baadhi ya vigezo vya kikatiba ni pamoja na Ayubu Shaibu Nyenzi, Sindilo Lyimo, Mustapha Salumu Himba, Kara Remtullah na Tobias Bosco Lingalangala.

You Might Also Like

Waziri Dr Damas Ndumbaro na Rais TFF watinga AVIC Town kuzungumza na wachezaji wa Yanga SC

Reece James kurejea kikosoini hivi karibuni- Chelsea

Update ya afya ya Christopher Nkunku aonesha video kutokea gym…

Man Utd wamethibitisha kurejea kwa Antony kwenye shughuli za kikosi cha kwanza

Nahodha wa Bayern Neuer arejea mazoezini miezi 10 baada ya kuvunjika mguu

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA June 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Zari amwaga machozi baada ya kufanyiwa hili na shabiki yake (video+)
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 12, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
Top Stories September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
Top Stories September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.

September 30, 2023
Top Stories

Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.

September 30, 2023
Top Stories

TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.

September 30, 2023
Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?