Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Eng. Hersi Said arudisha fomu ya Urais Yanga
Share
Notification Show More
Latest News
Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Eng. Hersi Said arudisha fomu ya Urais Yanga
Sports

Eng. Hersi Said arudisha fomu ya Urais Yanga

June 9, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya usajili Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji GSM, Eng. Hersi Said amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa club ya Yanga SC katika Uchaguzi utakaofanyika July 10 2022.

Fomu za kugombea nafasi hiyo zimerejeshwa leo kwa Eng. Hersi Said kuwakilishwa na Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela na Mzee Msumi ambao tayari wameweka wazi wanamuunga mkono Hersi Said katika Uchaguzi huo, Mwakalebela ameaga rasmi na kusema hatogombea nafasi yoyote Yanga.

“Kwa kifupi niseme kwamba dhamira Yanga haikuwa kuchukua fomu msimu huu na nimekuja hapa kwanza kuwaaga rasmi kwamba sitagombea na pili hatuwezi kuwaacha wana-Yanga kama watoto yatima ndio maana nimekuja kuunga mkono za Eng. Hersi Said kugombea nafasi ya Urais Yanga SC”>>> Fredrick Mwakalebela

Nafasi za Uongozi zitakazogombaniwa Yanga ni nafasi saba ambazo ni Rais, Makamu pamoja na nafasi tano za wajumbe.

You Might Also Like

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA June 9, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mzee aongea mbele ya DC ‘Nimecheleweshwa kufa, nitakufa endapo litafanyika hili’ (video+)
Next Article Bilioni 7 zatolewa na WFP, wakulima elfu 24 wawezeshwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani
Entertainment August 12, 2022
Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo
Top Stories August 12, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022
Magazeti August 12, 2022
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022

You Might also Like

Sports

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

August 10, 2022
Sports

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

August 7, 2022
Sports

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

August 7, 2022
Sports

Manara amuingiza Hersi kwenye 18 za TFF

August 7, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?