Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Yusuph Jackson ndio jamaa aliyeshinda Renault Kwid
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Yusuph Jackson ndio jamaa aliyeshinda Renault Kwid
Mix

Yusuph Jackson ndio jamaa aliyeshinda Renault Kwid

November 5, 2019
Share
2 Min Read
SHARE

 

Mkazi wa Serengeti, Mugumu Bwana Yusuph Jacksoni Murimi(29) akabidhiwa rasmi gari yake aina ya Renault Kwid mara baada ya kuibuka mshindi kwenye promosheni ya Faidika na Jero.

 

Promosheni ya Faidika na Jero ilidumu kwa siku 40 ambapo watumiaji wa mtando wa Tigo kupitia huduma ya TigoPesa walipata nafasi ya kujishindia zawadi mbali mbali ikiwemo smartphone kila siku nasiku ya mwisho zawadi ya gari.

 

Akizungumza wakati wa makabidhiano Yusuph alisema” Ukirudia mazungumzo yangu siku ya kwanza wakati napigiwa simu utagundua kwamba nilikuwa siwaamini walionipigia simu kama ni kweli SportPesa maana siku hizi mjini watu hawatabiriki. Nilikuwa nacheza tu lakini sikutarajia bahati hii ya ushindi wa gari itanidondokea mimi”

 

“SportPesa wamenipa mapokezi mazuri ikiwemo kusimamia gharama zote kuanzia usafiri wa ndege, malazi pamoja na matumizi ya siku nzima  na kuhakikisha gari langu linapata usajiri kupitia jina langu na kukabidhiwa”

 .

“Sijui nisemeje lakini nawashukuru sana SportPesa, Mimi ni muajiriwa kwenye kampuni kama fundi welder na sikutarajia kama siku ningeweza kushinda zawadi ya gari”

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi SportPesa Tanzania Bwana Tarimba Abbas alisema “SportPesa inazidi kuwafungulua dunia wateja wake hasa kwa kupitia promosheni mbalimbali kupitia simu ya mkononi unaweza kufanya maajabu yanayoweza kubadili maisha yako.”

.

 “Napenda kumpongeza sana sana Bwana Yusuph kwa ushindi wake na kujinyakulia gari mpya aina ya Renault Kwid na kuweza kuitumia kujiingizia kipato na shughuli nyingine za kujenga taifa.”

 .

“Hivyo basi watanzania wakae mkao wa kula mambo mazuri zaidi yanakuja kutoka SportPesa ili kuwaongezea burudani wateja wetu”

 

 

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

Rama Mwelondo TZA November 5, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Besigye aanguka baada ya kumwagiwa maji na gari Polisi (+picha)
Next Article VIDEO: Jopo la wanunuzi wakubwa wa Tanzanite Duniani latembelea Mirerani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?