Mwigizaji Jackline Wolper sasa ni rasmi atatambulika kama Mrs. Richard Samweli Bruno na hii ni baada ya kufunga ndoa na Mwanamitindo Richard Bruno a.k.a Rich Mitindo katika Kanisa katoliki la St. Peter’s Ostarbey Jijini Dar es salaam.
Hatimae Wolper na Rich Mitindo ni mke na mume, hivi ndivyo walivyovishana Pete za Ndoa
Leave a comment
Leave a comment