Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hii ni story ya majonzi kwa wapenzi wa soka hasa Klabu ya Everton
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Hii ni story ya majonzi kwa wapenzi wa soka hasa Klabu ya Everton
Sports

Hii ni story ya majonzi kwa wapenzi wa soka hasa Klabu ya Everton

April 23, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

reading-fans-crying-relegation_1085135
Hii ni habari ni habari ya majonzi kwa mashabiki wa soka duniani hasa wa klabu ya Everton na uongozi mzima kuhusu aliyekuwa rais wa heshima wa klabu hiyo Sir Philip Carter.

Carter ambaye ni mmoja wa waasisi wakubwa ambao waliisaidia timu hiyo hadi kufikia ilipo, kingine kilichoripotiwa leo kinahusu msiba wa Rais huyo ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 87  ambapo amefariki akiwa nyumbani kwake baada ya kuugua kwa muda mfupi.

eva
Sir Philip Carter

Rais huyo alikua mmoja ya mashabiki wa timu hii tangu akiwa mtoto ambapo mwaka 1973 alijiunga na timu kama mkurugenzi na mwaka 1978 akawa Mwenyekiti.

Wakati wa uongozi wake kama mwenyekiti akiwa na meneja wake Howard Kendall, Everton ilishinda mataji ya FA cup mwaka 1985 na 1987, 1984 na Kombe la Ulaya 1985.

Alichaguliwa kuwa Raisi wa heshima wa maisha wa timu ya Everton mwaka 2004.

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenyeTwitter,Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>>  Twitter InstaFB  na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa>>>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

You Might Also Like

Nimekuwekea Ratiba ya Mechi za Championship League, mtanange ni mkali

Kutokea China: Silent Ocean wametuonyesha namna wanavyopakia Mizigo ya Wafanyabiashara kuelekea Tanzania

Silent Ocean ‘Simba wa Bahari’, wametuonesha kila namna walivyompitisha mteja mpaka kufanikisha kile alichokihitaji

PICHA: GSM FC wazindua jezi mpya Ramadhan Cup

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

Millard Ayo April 23, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kiungo huyu anaweza kuwa mbadala kuvaa viatu vya Steven Gerrard ndani ya Liverpool?
Next Article Kingine kizuri kutoka Bank ya Access ni hii huduma iliyozinduliwa leo #RAHISI
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
Top Stories April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

April 1, 2023
Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?