Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: TRA kuvifungulia baadhi ya Vituo vya Mafuta ilivyovifungia DSM (+Video)
Share
Notification Show More
Latest News
TBS yawataka wauza vyakula kujisajili na maeneo yao
February 3, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
February 2, 2023
Mason Greenwood afutiwa mashtaka
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > TRA kuvifungulia baadhi ya Vituo vya Mafuta ilivyovifungia DSM (+Video)
AyoTV

TRA kuvifungulia baadhi ya Vituo vya Mafuta ilivyovifungia DSM (+Video)

July 15, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Stori kubwa ambayo inamake headlines kwenye mitandao ni kuhusu Mamlaka ya Mapato Tanzania ‘TRA’ kuvifungia vituo vya mafuta ambavyo havifuati utaratibu wa kutoa risiti za kielektroniki kutoka kwenye mashinde zilizofungwa moja kwa moja kwenye pump ‘EFPP’.

Mkurugenzi wa Idara ya Huduma na Elimu kwa Mlipakodi, Richard Kayombo amesema zoezi hilo ni endelevu na wataendelea kukagua na kuvifungia vituo vyote ambavyo havifuati sheria na taratibu katika kutoa risiti za kielektroniki mpaka pale wahusika watakapofanya hivyo.

Aidha, Kayombo amesema katika zoezi hilo DSM walifanikiwa kufungia vituo 28 katika Manispaa ya Kinondoni lakini  vituo 25 kati ya hivyo vinaweza kufunguliwa baada ya kufata sheria.

Manispaa ya Ilala vituo 31 vya mafuta vilifungiwa ambapo vituo 20 kati ya hivyo vimeonesha ushirikiano na vinaweza kufunguliwa huku manispaa ya Temeke vituo 9 vimefunguliwa kati 12 ambavyo vilifunguliwa.

TRA walivyovifungia Vituo vya Mafuta Mwanza!!!!

You Might Also Like

TBS yawataka wauza vyakula kujisajili na maeneo yao

Maombi maalum Sudan Papa Francis afike salama

Gharama ya kupunguza uzito kwa puto, madhara yake?, Msechu Kilo 7 zimepungua

Wanaorekodi video video za matukio Shuleni waonywa

Serikali yaweka wazi kutotangaza shule bora

TAGGED: Ayo TV, TZA HABARI
Millard Ayo July 15, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article PICHA 10: Kutoka kwenye mapokezi ya Rapper Nasty C, Airport DSM leo
Next Article PICHA 6: Taifa Stars imeshindwa kupata matokeo nyumbani dhidi ya Rwanda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

TBS yawataka wauza vyakula kujisajili na maeneo yao
Top Stories February 3, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 3, 2023
Magazeti February 3, 2023
Breaking: Sheikh Mkuu DSM atumbuliwa, sakata la Dr Mwaka na mkewe
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

TBS yawataka wauza vyakula kujisajili na maeneo yao

February 3, 2023
Top Stories

Bilioni 3.2 zatolewa kwa Wajasiriamali 16 wa Nishati safi ya kupikia

February 2, 2023
Top Stories

Maombi maalum Sudan Papa Francis afike salama

February 2, 2023
Top Stories

Gharama ya kupunguza uzito kwa puto, madhara yake?, Msechu Kilo 7 zimepungua

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?